WAZIRI WA FEDHA, DKT WILLIUM MGIMWA HATUNAYE TENA DUNIANI...

Habari zilizoufikia mtandao huu hivi punde zinasema kuwa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dkt. William Mgimwa amefariki dunia huko nchini Afrika ya Kusini alikokuwa amelazwa katika Hospitali ya Mediclinic Kloff. 

Habari zaidi kuhusu msiba huu zitawajia kadri zitakavyokuwa zikipatikana. Mungu ilaze roho ya marehemu, Dkt. Mgimwa mahala pema , Amina.

Older Post

Leave a Reply